Upandaji wa viazi

Planting potatoes

Hatua 1

Chimba mashimo ya 30cm katika mishororo, na 75cm kiumbali/katiyazo.





Hatua 2

Weka kiganja kimoja cha samadi na 10gm za DAP au NPK na changanya vyema na udongo.

Planting potatoes mix with manure

Hatua 3

Chimba  mashimo yenye kina cha urefu wa 10cm

Hatua 4

Panda viazi 30cm katiyazo huku vichipukizi vikiangalia juu. Weka vikonyo juu ya udongo na funika na udongo kidogo kutengeneza kichuguu ili kuzuia magugu.

Planting potatoes 30cm